The Saints Ministers - Tutatembea Lyrics

Tutatembea Lyrics

 Chorus
 Tutatembea, tembea kwa furaha,furaha tukiwa na Mwokozi,
     Kwenye Milango milango ya dhahabu dhahabu tukiwa na furaha.

1. Hakutakuwepo na mambo yote maovu kwenye makaoni juu,
Shida taabu na dhiki zinazotusumbua hazitakuwepo juu. 

2. Wale ambao watakuwa naye mwokozi watakuwa washindi,
   Walioshinda dhambi zinazotukabidhi tukiwa duniani.

3. Wakati huu wa hofu ambapo kuna mambo mabaya ya kutisha,
  Ndio wakati ambapo sote twatakiwa tukeshe kwa Maombi.


The Saints Ministers ||Tutatembea {Official Video} 4K

The Saints Ministers Songs

Related Songs